Msafara wa Jubilee washambuliwa mjini Mwingi
Published on: September 13, 2017 08:10 (EAT)
Msafara wa Jubilee hapo jana haukupokelewa vyema na wakaazi wa Mwingi katika kaunti ya kitui. Hii ni baada ya magari waliokuwa wakisafiria kupigwa mawe na wafuasi wa mrengo wa upinzani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment