Msamaria mwema apiga jeki elimu ya mtoto mlemavu huko Kwale

Hakuomba msaada, hakutaka kuhurumiwa, alijikakamua bila ya kujua kuna watu wanaomuona na kutaka kumpa asichoitisha ila anakihitaji. Ari yake na kiu ya elimu iliwavutia wahisani. Erick Mbithi Mwanafunzi Wa Darasa La Tano Mwenye Ulemavu Wa Miguu Kutoka Shule Ya Msingi Ya Msulwa ambaye alikuwa akitembea na kupanda milima akishuka mabonde ya shimba hills kaunti ya Kwale, kusaka elimu, sasa amepata mfadhili aliyeahidi kumlipia karo na kumhamishia Katika Shule Ya Uwezo Maalumu Ya Potreiz Katika Kaunti Ya Mombasa.

Tags:

KWALE erick mbithi msulwa primary school

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories