Msanii Jaguar auwa watu
Published on: March 23, 2017 08:19 (EAT)
Familia za vijana wawili waliofariki katika ajali ya barabara ya sagana –makutano inashtumu polisi kuhujumu juhudi zao kupata haki.
Ajali hiyo inadaiwa kuhusisha gari la msanii jaguar mapema wiki hii ingawa mwanamuziki huyo amekana kuwepo wakati wa ajali hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment