Mshukiwa wa mauaji ya naibu OCS wa Makueni akamatwa

Afisa wa polisi anayedaiwa kumuua naibu OCS wa kituo cha polisi cha makueni Denis Wanjala amekamatwa. Mshukiwa Friday Barasa aliyetoweka baada ya kisa hicho sasa anazuiliwa na polisi kabla ya kufikishwa mahakamani. Taarifa hii na zingine ni katika mkusanyiko wa taarifa zetu za kaunti.

Tags:

Makueni OCS Friday Barasa

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories