Mshukiwa wa mauaji ya naibu OCS wa Makueni akamatwa
Published on: December 28, 2017 08:02 (EAT)
Afisa wa polisi anayedaiwa kumuua naibu OCS wa kituo cha polisi cha makueni Denis Wanjala amekamatwa. Mshukiwa Friday Barasa aliyetoweka baada ya kisa hicho sasa anazuiliwa na polisi kabla ya kufikishwa mahakamani. Taarifa hii na zingine ni katika mkusanyiko wa taarifa zetu za kaunti.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment