Mshukiwa wa mauaji ya Kabete, apatika amekufa huko Kutus
Published on: June 03, 2017 08:09 (EAT)
Mshukiwa wa mauaji ya mkewe pamoja na wanawe watatu katika kijiji cha Muthure huko Kikuyu kaunti ya Kiambu, alipatikana amefariki hii leo mjini Kutus kaunti ya Kirinyaga.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment