Mshukiwa wa ugaidi Ismael Mohamed Shosi auawa

Polisi wa kukabiliana na ugaidi hii leo wamemuua mshukiwa mkuu wa ugaidi Ismael Mohamed Shosi katika eneo la Kisauni kaunti ya Mombasa. Shosi ambaye serikali ilikuwa imetoa kitita cha Ksh. 2M kwa yeyote ambaye angetoa ripoti kuhusu alikojificha aliuawa katika makabiliano makali na polisi katika boma la mjane wa mshukiwa wa ugaidi aliyeuawa mwaka wa 2013.

Tags:

Ismael Mohamed Shosi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories