Mshukiwa wa ulanguzi wa mihadarati atiwa nguvuni Mombasa
Published on: February 03, 2017 08:52 (EAT)
Mshukiwa mmoja wa ulanguzi wa dawa za kulevya amekamatwa na maafisa wa polisi mjini Mombasa akiwa na heroini yenye thamani ya shillingi millioni kumi. Kwingineko mwanamume aliyening’inia kwenye helikopta wakati wa ziara ya viongozi wa upinzani huko meru ameachiliwa kwa dhamana ya shillingi elfu ishirini.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment