Mswaki wa Turkana
Published on: February 04, 2017 09:16 (EAT)
Wakazi wa Turkana wamekataa kutumia mswaki na dawa ya meno inayouzwa madukani na badala yake wanaendelea kuuenzi mswaki wa matawi ya mti ujulikanao kama Esekon. Wanaamini kuwa mti huo una dawa ambayo husafisha meno na kuyafanya yawe imara.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment