Msichana ahangaika kwa kukosa matibabu Kwale
Published on: February 18, 2017 08:59 (EAT)
Mgomo wa madaktari umemfanya Sharika Galigalo msichana wa miaka 14 kutoka kijiji cha Bodo kule Msambweni kaunti ya Kwale anayeugua saratani ya ngozi pamoja na mdomo kwa zaidi ya miaka 10 kuishi bila ya matibabu. Sharika alitegemea hospitali za umma ambazo zimefungwa kwa zaidi ya miezi miwili sasa. Imebidi aache hata shule na kubaki nyumbani akihangaika. Nicky Gitonga ameandaa taarifa hiyo kwa mapoana na marefu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment