Msichana Sharika Galgalo asaidiwa na shule
Published on: March 13, 2017 09:25 (EAT)
Sharika Galgalo Msichana Wa Miaka 14 Anayeugua Ugonjwa Wa Saratani Ya Ngozi Na Mdomo Kwa Zaidi Ya Miaka 10 Hali Ambayo Ilimfanya Kukatiza Masomo Yake, Baada Ya Kutengwa Na Wanafunzi Wenzake Na Jamii Kwa Jumla Kutokana Na Changamoto Za Kiafya Zinazomkabili .
Sharika Sasa Amepata Afueni Baada Ya Nipashe Kuangazia Masaibu Yake Mwezi Mmoja Uliopita Ambapo Shule Ya Msingi Ya Watoto Wenye Uwezo Maalumu Likoni School For The Blind Imemuokoa Na Kumuandikisha Na Kujiunga Na Darasa La Pili Shuleni Humo
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment