Msichana wa miaka 25 auawa Kimilili

Kifo cha msichana mmoja wa miaka 25 aliyekumbana na mauti katika hali ya kutatanisha kinazidi kuwatia hofu wenyeji wa kimilili katika kaunti ya Bungoma. Msichana huyo anadaiwa kuuawa alipokuwa amemtembelea mchumba wake ambaye pia akipigwa na kuachwa katika hali mahututi na watu wasiojulikana.

Tags:

Kimilili Bungoma killing

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories