Msongamano mkubwa washuhudiwa katika barabara kuu ya Nairobi-Mombasa

Usafiri katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa ulikwama kwa takriban saa ishirini kufuatia msongamano mkubwa ulioshuhudiwa baada ya korongo iliyokuwa ikijaribu kuondoa lori lililokuwa limekwama kuanguka katika eneo la kibiashara la salama.

Tags:

Nairobi-Mombasa highway jam

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories