Msongamano mkubwa washuhudiwa katika barabara kuu ya Nairobi-Mombasa
Published on: November 11, 2017 08:21 (EAT)
Usafiri katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa ulikwama kwa takriban saa ishirini kufuatia msongamano mkubwa ulioshuhudiwa baada ya korongo iliyokuwa ikijaribu kuondoa lori lililokuwa limekwama kuanguka katika eneo la kibiashara la salama.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment