Msusi mwenye ulemavu wa macho
Published on: February 10, 2017 08:35 (EAT)
Kupoteza uwezo wa kuona kunaweza kumtosa mtu katika kiza cha maisha asijue aanzie wapi amalizie wapi. Lakini japo sio rahisi mtu kurejelea angalau nusu ya hali yake ilivyokuwa, inawezekana, kama wanavyodhihirisha watu wengi wanaopokea ushauri nasaha na mafunzo ya kuwawezesha kujitegemea kimaisha.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment