Mtawa Catherine aolewa na kanisa huko Nyeri
Published on: August 23, 2016 08:26 (EAT)
Tukio lisilo la kawaida hususan katika jamii ya Agikuyu limefanyika katika kanisa katoliki la Gititu kaunti ya Nyeri ambapo mtawa mmoja wa kanisa hilo alipofunga pingu za maisha kama ishara tosha kwamba ameolewa na kanisa hilo na kwamba atatumikia kanisa hilo siku zote za maisha yake.mwanahabari wetu Daniel Wanjala anatuarifu zaidi…..
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment