Mti wa mugumo waanguka
Published on: December 31, 2016 08:10 (EAT)
Baadhi ya wazee kutoka jamii ya wakikuyu walikusanyika katika shule ya msingi ya g. M. Kinoo kaunti ya kiambui kwa ajili ya kutakasa eneo hilo kufuatia kile wanachodai kuwa kosa kubwa lililotendwa katika ardhi takatifu baada ya tawi la mti wa mugumo kukatwa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment