Mtoto aliyeibiwa Nairobi apatikana Uganda
Published on: August 23, 2016 08:19 (EAT)
Mtoto mwenye umri wa miaka miwili unusu aliyekuwa ameibwa na mfanyakazi wa nyumbani katika mtaa wa Imara Daima hapa jijini Nairobi amepatikana nchini Uganda na kupelekwa katika kituo cha polisi cha Busia. Wazazi wa mtoto huyo walionyesha furaha yao kwa kumpata mwana wao akiwa salama kama anavyotueleza Asasha Elizabeth.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment