Mtoto auawa na nguvu ya umeme huko Kimende, Kiambu
Published on: November 03, 2017 08:44 (EAT)
Wanakijiji wa Kimende wanaomboleza kifo cha msichana wa miaka kumi na mitatu ambaye alipigwa na umeme alipotumwa na mamake dukani. Inaarifiwa kuwa alikumbana na mauti aliposhika nyaya za umeme zilizokuwa zikinging’inia pembeni mwa ua.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment