Mtoto mmoja afariki baada ya kupewa chanjo ya Surua

katika kaunti ya Bomet, mtoto mmoja aliaga dunia hapo jana baada ya kupokea chanjo ya ugonjwa wa Surua. Mtoto huyo aliyepelekwa katika hospitali ya Tenwek alikuwa na wengine tano waliopewa chanjo hiyo siku ya jumatatu. Hatua hii imeilazimu serikali ya kaunti ya bomet kuairisha operesheni ya chanjo hiyo.

Tags:

immunization Surua

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories