Mtoto Samantha Pendo yafanyiwa ibada ya wafu mjini Kisumu

Ibada ya wafu ya mtoto Samantha Pendo aliyefariki kutokana na majeraha mabaya aliyopata kichwani imefanyika leo mjini Kisumu. Pendo aligongwa na wanaodaiwa kuwa ni polisi waliokuwa wakizuia ghasia mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu wa tarehe nane Agosti kutangazwa.

Tags:

kisumu Samantha pendo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories