Mtoto Wa Balozi Auwawa Chuo kikuu Cha St. Paul
Published on: October 26, 2014 08:09 (EAT)
Mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha St. Paul aliuwawa na watu wasiojulikana mnamo usiku wa Jumamosi. Inadaiwa ya kwamba mwanafunzi huyo ambaye anatambulika kama Dennis Chirwa, ni mtoto wa balozi wa Malawi humu nchini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment