Mtoto wa miezi 10 apatikana na sindano 14 mwilini

Mtazamaji katika kisa cha kustaajabisha mtoto wa miezi kumi anauguza majeraha katika hopsitali ya Thika ya level five baada ya kupatikana na sindano kumi na nne za kushona mwilini. Madaktari walifaullu kuondoa sindano kumi na tatu na kuiacha moja ambayo imedunga mfupa. Aidha hakuna yeyote anayetambua jinsi sindano hizo zilivoingia mwilini mwa mtoto huyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories