Mtoto wa mwaka mmoja na miezi mitatu ateseka Kwale

Isac ibenzi mtoto wa umri wa mwaka mmoja na miezi mitatu, alikatwa mkono wake kwa kile kinachodaiwa kuwa uzembe wa muhudumu wa afya  katika hospitali kuu ya rufaa ya msambweni kaunti ya  kwale,   kutokana na kudungwa sindano kimakosa hali ambayo ilisababisha mkono wake kuoza  na hatimaye  kukatwa katika  hospitali kuu ya rufaa ya Mombasa. Nicky Gitonga ameandaa taarifa hiyo kwa kina

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories