Mtoto wa wiki mbili aokolewa kutoka kwenye shimo la choo
Published on: September 01, 2016 08:12 (EAT)
Mtoto mchanga mwenye umri wa majuma mawili ameokoloewa kutoka chooni katika kichinjio cha Bobong katika eneo la Narok baada kutupwa na mamake katika choo hiyo huku akiwa amefungwa nguo za kubana shingoni.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment