Mtu mmoja afariki wakati wa maandamano Nandi

Mtu mmoja amefariki wakati wa mgomo wa wafanyakazi   wa majani chai eneo la nandi hills kaunti ya nandi   hapo jana ,umesababisha hasara kubwa baada ya shamba la majani chai kuchomwa moto. Inadaiwa wafanyakazi hawa  walitakata   nyongeza   ya asilimia  thelathini ya marupurupu yao,

 

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories