Mtu mmoja afariki wakati wa maandamano Nandi
Published on: December 06, 2016 09:12 (EAT)
Mtu mmoja amefariki wakati wa mgomo wa wafanyakazi wa majani chai eneo la nandi hills kaunti ya nandi hapo jana ,umesababisha hasara kubwa baada ya shamba la majani chai kuchomwa moto. Inadaiwa wafanyakazi hawa walitakata nyongeza ya asilimia thelathini ya marupurupu yao,
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment