Mtu mmoja auwawa Kitui
Published on: December 16, 2016 08:26 (EAT)
Aliyekuwa meya wa Kitui Martha Mwangangi amefariki hii leo baada ya kugongwa na gari ya kuzima moto. Aliyekuwa waziri wa ardhi Charity Ngilu aliponea kifo kwenye ajali hiyo. Kulikuwa na maandamano ya kupinga ubomozi wa vibanda vya biashara wakati gari la zima moto lilipoingilia kati kutisha watu waliotaka kuchoma gari ya serikali ya county.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment