Mtuhumiwa wa wizi amechomwa hadi kufa na wakaazi wa kijiji cha Salawa kaunti ya Baringo
Published on: October 31, 2016 08:16 (EAT)
Mtuhumiwa wa wizi amechomwa hadi kufa na wakaazi wa kijiji cha Salawa kaunti ya Baringo. Vincent Komen alikuwa miongoni mwa wafungwa elfu 7,000 walioachiliwa huru na Rais Uhuru Kenyatta wakati wa sikukuu ya Mashujaa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment