Murkomen ageuzia kibao wanakamati wa PAC
Published on: December 15, 2016 09:37 (EAT)
Kamati ya bunge kuhusu uhasibu wa fedha za umma inaendelea na uchunguzi wake dhidi ya watuhumiwa wa sakata ya NYS. Zamu nyingine ya wakili Hillay Sigei anayewakilisha kampuni ya kutoa huduma za uwakili inayomhusisha Seneta Kipchumba Murkomen leo ilijaa majibizano ambayo hayakutoa mwelekeo wa majibu ya maswali ambayo kamati hiyo ilitaka yajibiwe.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment