Musalia Mudavadi hits out at DP Ruto over attacks on President Kenyatta

Musalia Mudavadi hits out at DP Ruto over attacks on President Kenyatta

Amani National Congress (ANC) party leader Musalia Mudavadi has slammed Deputy President William Ruto over what he termed as constant attacks against President Uhuru Kenyatta.

According to Mudavadi, DP Ruto should be able to step aside if he feels like the government in which he serves is not heading in the right direction.

Mudavadi said it is strange for the DP to constantly attack his boss President Kenyatta and the Jubilee government, yet still stay on and continue enjoying the trappings of power that come with it.

The former Vice President further urged the DP to embrace the aspect of collective responsibility, and not take credit for the good development projects of the Jubilee government while, at the same time, taking himself out of the equation when its failures are mentioned.

“Hatujawahi kuona wakati mwingine ambapo kuna marushiano ya maneno na ukosefu wa heshima kutoka kwa ofisi ya naibu wa rais kuelekezwa kwa ofisi ya rais na wafusi wao, kwa sababu mkubwa wa taifa ama mkubwa wa chama cha Jubilee ama mkubwa wa serikali iliyoko ni Uhuru Kenyatta, kwa hivo sisi hushangaa sana,” he said.

“Kuna kile tunaita tunaita collective responsibility, maana mliingia kwa tikiti moja; kama kuna mazuri mmeyatenda nyinyi wawili kama serikali kwa kijumla, na kama kuna matatizo ambapo labda kumekuwa na upungufu kwa utekelezaji wa kazi, sasa itakuwaje kwamba mmoja anasema ‘kwa shida mimi siko, lakini kwa mazuri niko.’ Kwa sababu kama sera zinaenda vizuri unataka kujigamba, lakini kama utekelezaji hauendi vizuri unasema ‘sio mimi, ni yule mwingine.’”

Mudavadi added: “Kama wewe unaona kwamba mwelekeo wa mkubwa wako haukupendezi, basi ni jukumu lako kusema ‘wacha nijiondoe’ ili nafasi ipatikane kwa mwingine waendelee. Lakini katika Afrika kuna hali ya wanasiasa kulalamika lakini hawajiondoi, lakini ingekuwa demokrasia angesema ajiuzulu.”

The One Kenya Alliance co-principal further sought to assure his supporters that the National Super Alliance (NASA) coalition has since been fully folded, with all parties signing the dissolution agreement.

“NASA ni historia, hiyo imekwisha. Sisi wote tuliandika, hata registrar wa political parties akatoa ujumbe kirasmi mwezi jana kwamba sasa hakuna NASA tena. Kwa hivo mimi sioni kuna faida kuongelea NASA tena, kwa sababu hiyo ni historia,” he said.

Mudavadi reiterated his earlier sentiments that President Kenyatta has not asked them, One Kenya Alliance principals, to abandon their presidential ambitions in favour of opposition leader Raila Odinga.

He said that during the meeting, which was held at State House in Mombasa a few months ago, there was no political talk whatsoever, and that the discussion was only centered around matters of national interest.

He said: “Mkienda kutembelea rais wa jamhuri ya Kenya, na muingie kwa room pale, hakuna mtu mwingine anaingia, ni nyinyi tu, ata simu huingii nayo pale. Kwa hivo itakuwaje mtu ataweza kusema kwamba hii ndio yalizungumziwa?

Ningependa tu kusema kwamba rais Uhuru Kenyatta hakushurutisha au kulazimisha mtu yeyote achukue msimamo fulani. Yeye alituita tu kama opposition, tujadiliane tu mambo ya kitaifa. Na tena tukazungumzia mambo ya COVID-19 na vile inakumba Wakenya na ni vizuri sisi sote lazima tuchangie. Hakuna siasa tulizungumza.”

Tags:

President Uhuru Kenyatta DP William Ruto Musalia Mudavadi 2022 General Elections

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories