Mustakabali wa KANU
Published on: January 12, 2017 09:05 (EAT)
Msimamo wa chama cha KANU unaonekana kuyumbayumba baada ya Mweyekiti Gideon Moi na katibu mkuu Nick Salat kutofautiana kuhusu mrengo ambao chama hicho kinaunga mkono. Je, chama cha KANU kiko upande wa serikali ya Jubilee au kimekita mizizi katika muungano wa upinzani NASA?
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment