Muturi, Lusaka wachaguliwa maspika

Aliyekuwa gavana wa Bungoma Kenneth Lusaka na Justin Mituri wamechaguliwa kuwa maspika wa seneti na bunge la kitaifa mtawalia. Lusaka alimbwaga mgombea wa muungano wa Nasa Farah Maalim baada ya duru mbili za uchaguzi huku muturi akitwaa ushindi pia katika duru ya pili ya uchaguzi huo.

Tags:

ken lusaka justin muturi 12th parliament

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories