Muungano wa NASA waandaa mkutano Bomet
Published on: February 04, 2017 08:53 (EAT)
Viongozi wa upinzani hii leo walikongamana katika kaunti ya Bomet, kuzindua rasmi muungano mkuu wa NASA. Viongozi hao wakiwemo kinara wa cord Raila Odinga. wameikosoa serikali ya Jubilee kwa kutenga maeneo mengine bila miradi. Mwanahabari wetu wa maswala ya kisiasa Stephen Letoo yuko katika kaunti ya Bomet na ametuandalia taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment