Muungano wa NASA wafanya kampeni Nyamira na Kisii
Published on: September 05, 2017 08:09 (EAT)
Viongozi wa muungano wa NASA wanawataka wenzao wa mrengo wa Jubilee kuiheshimu idara ya mahakama kama asasi huru. Viongozi hao ambao walipeleka kampeni zao katika kaunti ya Nyamira wamewashtumu Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto kwa kumkashifu Jaji Maraga na wenzake ambao walibatilisha uchaguzi wa urais.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment