Muungano wa NASA wapeleka kampeni Kwale

Kinara wa muungano wa NASA Raila Odinga leo amewaongoza wanasiasa wa muungano huo kujipigia debe katika mji wa Diani kaunti ya Kwale. Viongozi wa muungano huo wameishutumu serikali ya Jubilee kuwa imeshindwa na kazi na kuwarai wakazi wa pwani waupigie kura muungano wa NASA.

Tags:

raila odinga Mombasa NASA Musalia Mudavadi KWALE Hassan Joho

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories