Muungano wa NASA wapeleka kampeni Kwale
Published on: July 08, 2017 08:23 (EAT)
Kinara wa muungano wa NASA Raila Odinga leo amewaongoza wanasiasa wa muungano huo kujipigia debe katika mji wa Diani kaunti ya Kwale. Viongozi wa muungano huo wameishutumu serikali ya Jubilee kuwa imeshindwa na kazi na kuwarai wakazi wa pwani waupigie kura muungano wa NASA.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment