Muungano wa NASA wapeleka kampeni zake Vihiga
Published on: June 24, 2017 09:16 (EAT)
Wana NASA hii leo wamewarai wapiga kura magharibi mwa Kenya kuhakikisha wanapigia upinzani kwa pamoja ili kutwaa ushindi. Aidha walilalamika kuwa katika uchaguzi uliopita viongozi wa eneo hilo walikuwa wamegawanyika.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment