Muungano wa NASA watishia kutoshiriki uchaguzi wa marudio
Published on: September 07, 2017 08:21 (EAT)
Kiongozi wa muungano wa Nasa Raila Odinga ameitaja barua iliyoandikwa na mwenyekiti wa IEBC Wafula Chebukati kuonesha dosari zilizofanyika katika uchaguzi wa Agosti 8 kama ambayo imedhihirisha malalamishi yake kuhusu kura kuibiwa na kuhusika kwa maafisa wakuu wa IEBC. Raila anasisitiza kuwa hatashiriki uchaguzi wa terehe 17 mwezi ujao kabla ya tume hiyo kurekebisha kasoro zake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment