Mvua kubwa yatatiza usambazaji wa karatasi za mtihani
Published on: November 14, 2017 08:14 (EAT)
Wiki ya pili ya mtihani wa kitaifa wa kcse imeshuhudia changamoto kadhaa huku mitihani hiyo ikicheleweshwa katika baadhi ya maeneo kutokana na mvua kubwa inayonyesha. Aidha visa kadhaa vya udanganyifu vimeripotiwa huku wahusika wakinaswa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment