Mvua yasababisha msongamano wa magari

Baadhi ya wasafiri katika barabara kuu ya Nairobi kwenda Mombasa wamelazimika kulala ndani ya magari yao kwa sababu ya msongamano mkubwa uliodumu kwa zaidi ya saa 24 katika eneo la Taru kaunti ya Kwale kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha.

Tags:

KWALE rain mvua

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories