Mvua yasababisha msongamano wa magari
Published on: September 20, 2017 08:23 (EAT)
Baadhi ya wasafiri katika barabara kuu ya Nairobi kwenda Mombasa wamelazimika kulala ndani ya magari yao kwa sababu ya msongamano mkubwa uliodumu kwa zaidi ya saa 24 katika eneo la Taru kaunti ya Kwale kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment