Mvua yasababisha msongamano wa magari

Baadhi ya wasafiri katika barabara kuu ya Nairobi kwenda Mombasa wamelazimika kulala ndani ya magari yao kwa sababu ya msongamano mkubwa uliodumu kwa zaidi ya saa 24 katika eneo la Taru kaunti ya Kwale kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha.

Tags:

KWALE rain mvua

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories