Mwakilishi wa wadi aliyetekwa nyara Migori apatikana Rongo
Published on: October 01, 2016 09:31 (EAT)
Mwakilishi wa wodi ya Kapuonja Paul Odhiambo ameomba serikali kumpa ulinzi kwa sababu anahofia maisha yake. Odhiambo alitekwa nyara siku ya Alhamisi na kupatikana jana usiku katika eneo la Rongo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment