Mwakilishi wa wadi aliyetekwa nyara Migori apatikana Rongo

Mwakilishi wa wodi ya Kapuonja Paul Odhiambo ameomba serikali kumpa ulinzi kwa sababu anahofia maisha yake. Odhiambo alitekwa nyara siku ya Alhamisi na kupatikana jana usiku katika eneo la Rongo.

Tags:

Migori kisumu rongo Paul Odhiambo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories