Mwalimu adimu anayefunza kutoka kitandani pake
Published on: October 06, 2017 09:22 (EAT)
Mwalimu mmoja mlemavu wa miguu angali anatia bidii katika kazi yake licha ya kuwa hawezi kutembea. Anajikakamua na kuwafunza watoto akiwa kitandani jijini Dar Es Salaam Tanzania.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment