Mwalimu mkuu mlevi akamatwa Nyandarua

Mwalimu mkuu mlevi akamatwa Nyandarua

Polisi katika eneo la OlKalou hii leo wamemkamata Mwalimu Mkuu aliyefika kuchukua karatasi za mitihani akiwa mlevi katika kaunti ya Nyandarua.

Mwalimu huyo kwa jina Peter Kamau Ndegwa ambaye ni mwalimu mkuu wa Shule moja ya kibinafsi, aliwasili katika afisi ya kamishna wa kaunti ya Nyandarua akiwa mlevi chakari na kuzua rabsha.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories