Mwana atuhumiwa kumzika mamake akiwa hai

Mtazamaji hebu tafakari kisa cha mwana kumzika mamake akiwa hai. Mwanaume mmoja katika kaunti ya Bungoma anazuiliwa na polisi baada ya kushukiwa kutaka kumzika mamake akiwa hai.

Tags:

bungoma mwana

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories