Mwana wa Aboud Rogo azusha rabsha kortini
Published on: September 15, 2016 09:23 (EAT)
Mjane wa aliyekuwa mhubiri matata Sheikh Aboud Rogo hii leo amefikishwa mahakamani baada ya kudaiwa kuhusika na shambilizi lililotokea siku ya jumapili katika kituo cha polisi cha central mjini Mombasa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment