Mwanafunzi ajeruhiwa na walimu shuleni Kwale
Published on: March 04, 2017 09:08 (EAT)
Idara ya polisi katika eneo la Diani kule Msambweni kaunti ya Kwale inachunguza kisa cha mwanafunzi wa darasa la sita kutoka shule ya msingi ya Mwakigwena aliyeadhibiwa na kujeruhiwa vibaya na walimu wawili wa kike kwa madai ya kukosa kukamilisha kazi zake za ziada. Mwanahabari wetu Nicky Gitonga anatufahamisha zaidi kutoka Kwale.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment