Mwanafunzi aliyewaokoa wenzake kwenye mkasa wa moto aendelea kupata nafuu

Uchunguzi umebaini kuwa wakati wa mkasa wa moto katika shule ya upili ya wasichana ya Moi hapa Nairobi, kulikuwa na wanafunzi mia tatu ndani ya bweni hilo huku kumi na wanane wakiwa si wa kidatu cha kwanza. Hata hivyo kulingana na baadhi ya wazazi ni afueni kuwapata wanao wakiwa hai huku wakiombea familia za wale hawajawapata wana wao.

Tags:

Kibera Moi Girls

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories