Mwanafunzi auliwa katika shule ya upili ya Dagoretti, Nairobi

Kwa kawaida ni furaha ya mzazi pale unapompeleka mtoto wako shuleni akapate elimu ya dunia ukijuwa fika kwamba hiyo ndio tegemeo lake siku za usoni, lakini kwa familia moja hapa jijini Nairobi ilipata pigo baada ya mwanao kutoka shule ya upili ya Dagoretti kufariki hapo jana huku familia sasa ikitaka haki itekelezwe na aliyetenda kitendo hicho kufunguliwa mashtaka.

Tags:

John Kiarie Dagoreti high school

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories