Mwanafunzi auliwa katika shule ya upili ya Dagoretti, Nairobi
Published on: September 21, 2017 08:56 (EAT)
Kwa kawaida ni furaha ya mzazi pale unapompeleka mtoto wako shuleni akapate elimu ya dunia ukijuwa fika kwamba hiyo ndio tegemeo lake siku za usoni, lakini kwa familia moja hapa jijini Nairobi ilipata pigo baada ya mwanao kutoka shule ya upili ya Dagoretti kufariki hapo jana huku familia sasa ikitaka haki itekelezwe na aliyetenda kitendo hicho kufunguliwa mashtaka.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment