Mwanafunzi Mwenye Miaka 9 Azuiliwa Kwa Utekaji Nyara
Published on: October 14, 2014 08:17 (EAT)
Mwanafunzi wa miaka 19 wa mwaka wa kwanza katika Chuo Cha Egerton anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Moi’s Bridge, baada ya kudaiwa kuhusika katika utekaji nyara wa mtoto wa miaka 9 huko Matunda. Kama anavyotuarifu Mbaruk Mwalimu, Victor Mwania Musango alikamatwa baada ya mwenzake walioshirikiana naye katika utekaji nyara huo kutoroka.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment