Mwanafunzi wa Chuo kikuu akamatwa kwa kupanga kujiunga na ISIS
Published on: November 02, 2016 09:55 (EAT)
Mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu cha Moi akamatwa na maafisa wa polisi mjini Mombasa kwa madai ya kupanga kutoroka humu nchini na kuelekea nchini Libya kujiunga na kundi la kigaidi la ISIS na kwingineko watu 9 wakiwemo maafisa kutoka mamlaka ya ukusanyaji ushuru nchini KRA na wa mamlaka ya bandari KPA wamefikishwa katika mahakama ya Mombasa na kushtakiwa na kosa la kushirikiana kusaidia kuachilia kontena 121 bila kulipa ushurui kutoka Bandari ya Mombasa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment