Mwanaharakati dhidi ya ukeketaji atuzwa na malkia wa Uingereza
Published on: September 23, 2017 08:23 (EAT)
Domitila Chesang amekuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya tohara kwa mtoto msichana katika vijiji vya kaunti ya Pokot Magharibi, na juhudi hizo zilitambuliwa na malkia wa Uingereza. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi mwaliko huo umemchochea Domitila kuendeleza kampeini yake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment