Mwanajeshi atoweka wiki tatu kabla ya kufuzu

Kijana mmoja aliyekuwa amesajiliwa katika jeshi kitengo cha kadet na kupitia mafunzo ya miaka mitatu ya mazoezi makali, hajulikani alipo baada ya kutoweka wiki tatu tu kabla ya kufuzu. Ni kisa kinachomnyima usingizi Mama Mary Amatu, ambaye amekuwa akimsaka mwanawe Roy Munene baada ya kutoweka walipokuwa wakipokea mafunzo katika msitu Wa Mlima Kenya.

Tags:

KDF Cadet Mary Amatu Roy Munene

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories